Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na balozi Mpya wa Tanzania nchini
Msumbiji Mhe.Bi Shamim Nyanduga ikulu jijini Dar es Salaam jana.
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Balozi mpya wa Tanzania nchini
Uganda,Dkt.Ladislaus Komba ikulu jijini Dar es Salaam jana.
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete jana ameagana na mabalozi wapya watatu
watakaoiwakilisha Tanzania nchi za nje.Mabalozi waliokwenda ikulu
kumuaga Rais Kikwete ni pamoja na Dkt.James Msekela anayekwenda Italia,
Dkt.Ladislaus Komba anayekwenda Uganda na Mhe.Bi.Shamim Nyanduga
anayekwenda Msumbiji.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
akizungumza na Balozi Mpya wa Tanzania nchini Italia Dkt.James Msekela
ikulu jijini Dar es Salaam jana.Picha na Freddy Maro-IKULU





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)