MZEE WA "FACEBOOK" DJ CLEO AWASILI JIJINI DAR ES SALAAM - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MZEE WA "FACEBOOK" DJ CLEO AWASILI JIJINI DAR ES SALAAM

Mwanamuziki Tlou Cleopas Monyepae maarufu kama DJ Cleo Kutoka nchini Afrika ya Kusini akiwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mwalimu J.K.Nyerere usiku huu, tayari kwa onyesho lake litakalofanyika kwenye viwanja vya Posta Kijitonyama jijini Dar es salaam siku ya Machi 10, 2012 siku ya jumamosi, Mwanamuziki huyo kwa sasa anatamba na wimbo wake wa FACEBOOK na ameongozana na wanamuziki wenzake wawili ambapo FULLSHANGWEBLOG imeshuhudia kuwasilia kwake.
Mwanamuziki Tlou Cleopas Monyepae maarufu kama DJ Cleo Kutoka nchini Afrikaya Kusini akisalimiana na Mkurugenzi wa Times FM Radio Rehure Nyaulawa ambaye ndiye mwenyeji wake wakati alipokuwa akipmokea kwenye uwanja wa ndege wa J.K.Nyerere.
Mwanamuziki Tlou Cleopas Monyepae maarufu kama DJ Cleo Kutoka nchini Afrika ya Kusini katikati akiongozan na wanamuziki wenzake kwenda kupanda gari tayari kuelekea hoteli ya Protea ambako ndiko walikofikia.Picha Na Mroki Mroki

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages