
Mkuu
wa Gereza la Mahabusu mjini Songea,SP Sylvester Shija (kushoto) kwa
niaba ya Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama nchini Rais
Jakaya Kikwete,akimvalisha cheo staff sajent Anna Alexander wakati wa
hafla ya kuwapandisha vyeo askari wa nne wa Jeshi hilo Mjini Songea leo.


Baadhi
ya asakari magereza kutoka gereza la mahabusu mjini Songea
wakiwapongeza askari wenzao wanne walipandishwa vyeo kwa ngazi
mbalimbali mjini songea leo.

Mkuu
wa Gereza la Mahabusu Mjini Songea,SP Silvester Shija akizungumza na
askari pamoja na maofisa wa jeshi hilo mkoani Ruvuma mara baada ya
kuwapandisha vyeo askari wa nne kutoka koplo hadi sajent na wengine
kutoka sajent hadi staff sajent, kwa niaba ya Amiri jeshi mkuu wa
majeshi ya ulinzi na usalama hapa nchini Rais Jakaya Kikwete.hafla hiyo
imefanyika leo mjini humo.Picha na Muhidin Amri





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)