Mke wa Balozi wa Tanzania nchini ibelegiji Mama Kamala akiwa na Mama Maria nyerere
Wake
wa Marais wa stafu Mama Siti Mwinyi na Mama Anna Mkapa wakijadiliana
jambo wakati walipo mtembelea Mama Maria Nyerere nyumbani kwake
msasani hivi karibuni kwa ajili ya kumpatia tuzo ya miaka 50 ya uhuru
wa Tanzania iliyo andaliwa na kikundi cha wake wa viongozi kama ishara
ya kutambua mchango wake katika kusaidi kupatikana kwa uhuru wa
Tanzania
Mama Maria Nyerere akiwa katika Picha ya Pamoja na Wake wa Viongozi Waliomtembelea.Picha na Habari na Mdau Christopher Mfinanga





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)