Mama Salma Kikwete aongonza matembezi ya Mkakati wa Uboreshaji wa Miundombinu ya Elimu katika kata ya Kipawa leo - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Mama Salma Kikwete aongonza matembezi ya Mkakati wa Uboreshaji wa Miundombinu ya Elimu katika kata ya Kipawa leo

Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA,Mama Salma Kikwete akisalimiana na Mbunge wa Zamani wa Jimbo la Ilala,Mama Martha Weje (kulia).
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Slaa akiongea na wananchi wa kata ya Kipawa iliopo katika Manispaa ya Ilala,Jijini Dar ea Salaam leo wakati wa uzinduzi rasmi wa Mkakati wa Uboreshaji wa Miundombinu ya Elimu ya kata hiyo,ambapo mgeni rasmi alikuwa Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA,Mama Salma Kikwete ( pichani hayupo).
Mwenyekiti wa WAMA,Mama Salma Kikwete akipokea mchango kutoka kwa mwanafunzi. Kwa Chanzo Na Picha zaidi BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages