Magufuli ni Waziri Mchapa kazi! Si Mchezo. - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Magufuli ni Waziri Mchapa kazi! Si Mchezo.

Jana jioni wakati narejea nyumbani, nikiwa kwenye foleni pale maeneo ya Tegeta, Nikaona msafara ya Waziri Magufuli umesimama ghafla kaatikati ya Barabara, akashuka na kuwapa darasa askari trafiki waliokuwa pembeni wamesiama wakiangalia foleni, badala ya kuyaongoza magari. 

Duh, ghafla raia wakamzunguka na kumpa Big up. Akapanda yake huyoo akaendelea na msafara.

Napenda sana kumpongeza Waziri huyu kwa jinsi anavyochapa kazi zake barabara! Wengine wako wapi? mbona wahasikiki?

Hon. Magufuli Keep it up!

Mdau
Mmbando

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages