
Mwenyekiti
wa CCM, Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete,Makamu wa Rais Dr.Mohamed
Gharib Bilal, Makamu wa pili wa SMZ Balozi Seif Iddi na Waziri Mkuu
Mizengo Pinda wakijadili jambo muda mfupi baada ya kumalizika kwa
kikao cha Kamati kuu ya Halmashauri kuu ya CCM ilichofanyika ikulu
jijini Dar es Salaam, jana(Jumamosi).Picha na Freddy Maro-IKULU





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)