Kongamano la Wanawake wa CHADEMA Katika Ukumbi wa Jamatihan Zanzibar. - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

demo-image

Kongamano la Wanawake wa CHADEMA Katika Ukumbi wa Jamatihan Zanzibar.

IMG_0192
KATIBU Mkuu Baraza la Wanawake la Chadema Taifa (BAWACHA) Naomi Kahiyula akifunguwa Kongamano la Wanawake lililofanyika katika Ukumbi wa Jamatihan Kibokoni Unguja, lililoandaliwa na( BAWACHA)
IMG_0205
MBUNGE wa Viti Maalum Chadema Mkoa wa Mjini Magharibi, Maryam Msabaha akizungumza katika ufunguzi wa Kongamano hilo la siku moja la Wanawake lililoandaliwa na Baraza la Wanawake la Chadema Taifa (BAWACHA) lililofanyika katika ukumbi wa Jamatihan Mjini Unguja.
IMG_0196
Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali wakifuatilia Kongamano la Wanawake lililoandaliwa na Baraza la Wanawake Chadema Taifa, lilofanyika katika ukumbi wa Jamatihan. 
IMG_0195
Washiriki wa Kongamano la Wanawake wa CHADEMA wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Baraza hilo Taifa.Naomi Kahiyula, wakati akifunguwa kongamano hilo liliofanyika katika ukumbi wa Jamatihan.Unguja.Picha Zote na Haroub Hussein

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Pages