EVANS BUKUKU'S COMEDY CLUB YAZINDULIWA NDANI YA CLOUDS TV JIJINI DAR ES SALAAM - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

EVANS BUKUKU'S COMEDY CLUB YAZINDULIWA NDANI YA CLOUDS TV JIJINI DAR ES SALAAM

Mchekeshaji wa maarufu nchini kutoka kundi la Vuvuzela Entertainment, Evans Bukuku akitoa maelezo machache juu ya kipindi chao cha Evans Bukuku's Comedy Club kilichozinduliwa jana usiku, katika mgahawa wa Nyumbani Lounge jijini Dar es Salaam. Kipindi kilichozinduliwa kwa kuonyeshwa Clouds TV kitakuwa kikionyeshwa kila Jumatatu kuanzia saa 3 usiku na marudio yake yatakuwa kila Jumamosi saa 8mchana.
Mchekeshaji wa maarufu nchini kutoka kundi la Vuvuzela Entertainment, Evans Bukuku akiwa pamoja na wageni wake.
Wageni walialikwa kutoka Clouds Fm&Tv Wasiwasi Mwabulambo, Arnold Kayanda, Abuu.
Mmoja ya watangazaji katika kipindi cha Evans Bukuku's Comedy Club, Taji Liundi akiwa na warembo.
Ilikuwa ni full uhondo kwa hao wachekeshaji wenyewe

Mchekeshaji wa maarufu nchini kutoka kundi la Vuvuzela Entertainment, Evans Bukuku akiwatambulisha wachekeshaji wenzake wanaounda kundi hilo katika uzinduzi wa kipindi uliofanyika Nyumbani Lounge, jijini Dar es Salaam.
Evans akionyesha vitu vyake.
Kiongozi wa kundi la Vuvuzela Entertainment, Jacob Mwakamele akielezea machache mbele ya wageni waliokuwa wamealikwa katika uzinduzi huo. Picha zote na Cathbert Kajuna wa www.kajunason.blogspot.com

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages