BREAKING NEWS: DC PAUL CHIWILE AFARIKI DUNIA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

BREAKING NEWS: DC PAUL CHIWILE AFARIKI DUNIA

Taarifa zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa mkuu wa wilaya ya Liwale, Mh Paul Chiwile amefariki dunia akiwa mjini lindi akiwa ameenda kwenye mkutano, Mauti hayo yamemkuta akiwa usingizini kwenye nyumba ya kulala wageni aliyofikia huko Lindi.Lukaza Blog inaendelea kufuatilia taarifa hii.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages