Basi la Abiria la kampuni ya Super Najmunisa lifanyalo safari zake
kati ya Dar es Salaam na Mwanza,likimalizikia kuteketea kwa moto mara
baada ya kupata shoti ya betri.ajali hiyo imetokea jioni ya leo maeneo
ya Berege Mkoani Morogoro wakati basi hilo likiwa njiani kuelekea
jijini Dar es Salaam kutokea Mwanza.hakuna mtu yeyote aliedhulika
kwenye ajali hiyo isipokuwa mizigo yote ya abiria hao iliteketea kwa
moto. Basi hilo nikiendelea kuwaka moto.Sehemu
ya Abiria wa Basi hilo pamoja na wamazi wa maeneo ya jirani na kijiji
hicho wakiwa wamekaa pembeni kuangalia jinsi gari hilo linavyoteketea
kwa moto bila ya wao kujua la kufanya wakati huo.
Picha kwa hisani ya http://issamichuzi.blogspot.com/
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Home
Unlabelled
Basi la Super Najmunisa lateketea kwa moto jioni ya leo Mkoani Morogoro
Basi la Super Najmunisa lateketea kwa moto jioni ya leo Mkoani Morogoro
Share This
About Josephat Lukaza
Subscribe to:Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)