Tukio
zima la Ajali mbaya la basi la Prince Muro iliyotokea jana Usiku maeneo
ya Senjele likielekea Tunduma. Mwendo kasi ndio chanzo cha ajali hiyo
mtu mmoja amefariki na wengine 14 ni majeruhi
Majeruhi
ambao wamenusurika katika ajali hiyo mbaya wamesema kwamba dereva huyo
alikuwa mwendo kasi tangia walipo fika mikumi, Wameendelea kudai
kwamba walimpa onyo mala kadhaa lakini hakuweza kuwasikiliza na
akaongeza mwendo kasi zaidi mpaka walipo pata ajali hiyo maeneo ya
Senjele kuelekea Tunduma.
Habari kamili itakuja mpaka sasa kuna majeruhi 14 na mtu mmoja amefariki
Dunia
Hivi ndivyo inavyo onekana Damu na viti kuharibika vibaya baada ya ajali hiyo iliyo tokea jana usiku
Basi hilo likiwa limeharibika upande wa mbele kama inavyoonekana kioo cha mbele.
Picha kwa hisani ya http://mbeyayetu.blogspot.com/
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)