WASANII BONGO FLEVA KUPENDEZESHA JUKWAA JUMAPILI HII NDANI YA DAR LIVE - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

WASANII BONGO FLEVA KUPENDEZESHA JUKWAA JUMAPILI HII NDANI YA DAR LIVE

Chegge akielezea jinsi atakavyofunika katika shoo hiyo 'bab kubwa' kushoto ni Said Fella Meneja wa kundi la TMK.
. Ambwene Yessayah ‘AY’ akiumwagia sifa ukumbi wa Dar Live ambao baada ya kuuona aligundua kuwa una hadhi ya kimataifa. 

WASANII wakali wa muziki wa kizazi kipya nchini, Mwana FA, AY, Kundi la TMK Wanaume Family na Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ kwa pamoja wanatarajiwa kuangusha bonge la shoo siku ya Jumapili hii ndani ya Ukumbi wa Dar Live jijini Dar es Salaam huko Mbagala.
Akizungumza na wanahabari mchana huu, mratibu wa burudani katika ukumbi huo, Juma Mbizo, alisema maandalizi yote kuhusiana na tamasha hilo yamekamilika.kama anavyoonekana mwanamuziki Mwana FA akielezea jinsi atakavyofanya makamuzi ya nguvu.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages