VILLA SQUAD YATINGA NDANI YA MJENGO WA KUTUNGA SHERIA MJINI DODOMA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

VILLA SQUAD YATINGA NDANI YA MJENGO WA KUTUNGA SHERIA MJINI DODOMA

 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda akiSalimiana na  viongozi na wachezaji wa timu ya Villa Squard ya Kinondoni jijini Dar es salaam waliofika bungeni mjini Dodoma leo kwa lengo la  kuona na kujifunza shughuli mbalimbali zinazofanywa na bunge. 

 Mbunge wa Singida mjini Mohammed Dewji akimsikiliza kwa makini Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais  Uhusiano na Uratibu Stephen Wasira ndani ya ukumbi wa bunge leo mjini Dodoma.
 Mbunge wa Same Mashariki Anne Kilango akijadili jambo na Mwanasheria mkuu wa serikali Jaji Frederick Werema ndani ya ukumbi wa Bunge leo wakati wa kipindi cha maswali na majibu mjini Dodoma. Picha Zote na Aron Msigwa-MAELEZO

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages