SERIKALI YA TANZANIA YAPIGWA JEKI SHILINGI BILIONI 102.3 NA BENKI YA JUMUIYA YA ULAYA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

SERIKALI YA TANZANIA YAPIGWA JEKI SHILINGI BILIONI 102.3 NA BENKI YA JUMUIYA YA ULAYA

Kurt Simonsen Mkuu wa benki ya European Investment Bank kanda ya Afrka Mashariki na Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege Tanzania Suleiman Suleiman, wakijadiliana jambo wakati hafla ya kutiliana saini mkataba wa kuendeleza viwanja vya ndege nchini Tanzania. 
Katibu mkuu wa Wizara ya Fedha na Uchumi Bw. Ramadhani Khijjah kushoto na Kurt Simonsen Mkuu wa benki ya European Investment Bank kanda ya Afrka Mashariki, wakibadilisha hati za mikataba mara baada ya kutiliana saini leo jijini Dar es salaam.
Katibu mkuu wa Wizara ya fedha Mr Ramadhani Khijjah kushoto akiongea na waandishi wa habari katika makao makuu ya wizara hiyo jijini Dar es salaam wakati wa kutiliana saini mkataba kwa shilingi Bilioni 102.3 kwa ajili ya kuendeleza kupanua viwanja vya ndege nchini Tanzania, (kulia) Kurt Simonsen Mkuu wa benki ya European Investment Bank kanda ya Afrka Mashariki.(PICHA NA PHILEMON SOLOMON)

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages