RAIS JAKAYA KIKWETE AREJEA NCHINI LEO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

RAIS JAKAYA KIKWETE AREJEA NCHINI LEO

  Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mkono kuwaaga wananchi wa Botswana wakati akiondoka nchini humo kurejea jijini Dar es Salaam leo.Kushoto kwake ni Mwenyeji wake, Rais wa Botswana,Luteni Jenerali Seretse Khama Ian Khama.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiteta jambo na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Mh. Meck Sadick, wakati alipowasiri nchini leo akitokea nchini Botswana alikohudhuria Sherehe za Miaka 50 ya kuzaliwa kwa Chama Tawala cha nchi hiyo.Wengine Pichani ni Viongozi Mbali mbali wa Serikali waliofika kumpokea Rais Kikwete leo.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages