MAKAMU WA RAIS DKT BILAL AMALIZA ZIARA YAKE YA MKOA WA IRINGA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MAKAMU WA RAIS DKT BILAL AMALIZA ZIARA YAKE YA MKOA WA IRINGA

 MAKAMU AKUTANA NA 'USITAKE NCHEKE'
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na mmoja kati ya wafanyakazi wa kiwanda cha SAO Hill, Erlend Haugen, ambaye ni mrefu kuliko wafanyakazi wote wa kiwanda hicho, baada ya kuzindua mashine cha kuchana mbao katika kiwanda hicho jana.
 Makau wa Rai wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mkurugenzi wa Nishati katika Kiwanda cha SAO Hill, Roselyne Mariki, wakati  alipowasili katika kiwanda hicho jana, kwa ajili ya kuzindua mashine mpya nay a kisasa ya kuchana mbao.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha SAO Hill, Nick Moore, hukusu ufanyaji kazi wa mashine mpya nay a kisasa ya kuchana mbao iliyofungwa katika kiwanda hicho.
 Makamu wa Rais Dkt Bilal, akiwahutubia wananchi na wafanyakazi wa Benki ya Wananchi ya NJOCOBA baada ya kuizindua benki hiyo jana.
 Vijana wa JKT wakiimba na kucheza wakati wa makaribisho ya Makamu wa Rais, alipokuwa akiwasili Kijiji cha Rungemba kuzindua Kituo cha afya jana.
Vijana wa JKT wakiimba na kucheza wakati wa makaribisho ya Makamu wa Rais, alipokuwa akiwasili Kijiji cha Rungemba kuzindua Kituo cha afya jana.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages