Lazima na sisi tucheze Pool kama mjini - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Lazima na sisi tucheze Pool kama mjini

 Michezo mingi ya kutumia vifaa vya kisasa ipo mijini kutokanana na urahisi wa kupata vifaa hivyo vya kuchezea. Pichani ni vijana na watoto walio na uchu wa kucheza mchezo wa pool na kuamua kutengeneza meza yao ya pool na kucheza kwa kutumia ndulele kama inavyoonekana katika picha hii. Hakika huu ni ubunifu na huyu ane cheza hapa ukimpeleka katika meza ya kisasa bilashaka atacheza vyema. Mungu Ibariki Tanzania.Credits Father Kidevu Blogu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages