Rais Kikwete akisalimiana na mkuu wa mkoa wa Mwanza Injinia Evarist
Ndikillo baada ya kuwasili Uwanja wa ndege jijini Mwanza jana jioni.
|
![]() |
| Jk akishuka kwenye ndege alipowasili uwanja wa Ndege wa Mwanza jana jioni |
![]() |
| Rais Kikwete akiwasalimia wanachama wa CCM baada ya kuwasili jijini Mwanza |
Katibu
wa NEC, Nape Nnauye, Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza Mabina na Katibu
wa CCM Mukama wakisahuriana jambo kwenye Uwanja wa Ndege jijini mwanza
wakati wa mapokezi ya Rais Kikwete
|
![]() | |
| Rais Kikwete akifuatana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza Mabina wakati alipowaisli jijini Mwanza jana.(Picha zote na Bashir Nkoromo) |










No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)