Rais Jakaya Kikwete Aifariji Familia Ya Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki kwa Tiketi ya CCM na Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi Jeremia Sumari - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Rais Jakaya Kikwete Aifariji Familia Ya Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki kwa Tiketi ya CCM na Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi Jeremia Sumari

Rais Jakaya Kikwete akiweka sahihi kitabu cha maombolezo
Rais Jakaya Kikwete Akimpa pole mjane wa Marehemu Jeremia Sumary, Mbunge wa Arumeru na Naibu Waziri wa Fedha wa wa zamani aliyefariki leo asubuhi jijini Dar es salaam. Hapa ni nyumbani kwa marehemu, Mbezi Beach, Dar es salaam jioni hii
Rais Jakaya Kikwete akitoa pole kwa wafiwa
Rais Jakaya Kikwete akiongea na ndugu wa marehemu pamoja na Spika Anne Makinda na Mbunge wa Loliondo Mh Edward Lowassa ambaye ni mzazi wa binti aliyeolewa na mtoto wa marehemu Sumari.Picha na IKULU

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages