Wadada wao walicheza kombolela...Hapo walikuwa mapumziko
Mpira ukiendelea katika siku ya Planner's Day ndani ya UDOM
Wanafunzi
mbalimbali wanaosoma Project Planning,Management and Community
Development katika Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) walishiriki katika
michezo mbalimbali katika siku ya Mipango chuoni hapo
Faithat, Salum Juma na Rachel wote walikuwa kwenye kamati ya maandalizi ya Planner's Day KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)