
Beki wa timu ya Manchester Cit, Vincent Kompany (chini) akimchezea vibaya Kiungo wa Manchester
United, Nani, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya england uliomalizika muda mfupi uliopita katika
uwanja wa Etihad, Manchester. Kompany amezawadiwa kadi nyekundu
baada ya kumchezea vibaya Nani, mpira unamalizika Man U yaibuka kidedea kwa magoli3-2.





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)