Wind East Africa Limited wapata leseni ya kuzalisha umeme - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Wind East Africa Limited wapata leseni ya kuzalisha umeme

 
Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Haruna Masebo akimkabidhi leseni ya uzalishaji wa umeme wa upepo Bw. Rashid Shamte ambaye ni mkurugenzi wa kampuni ya Wind EA katika hafla fupi iliyofanyika jijini jana. kampuni hiyo imepewa leseni ya kuzalisha umeme wa upepo wa 100mw kwa kipindi cha miezi 30.

Wafanyakazi wa Kampuni ya Wind EA wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Mkuu wa EWURA,Haruna Masebo mara baada ya kukabidhiwa leseni yao ya biashara.

 Wafanyakazi wa Kampuni ya Wind EA wakiwa katika mazungumzo na waandishi wa habari juu ya shughuli za kampuni hiyo na mkakati wao wa uzalishaji umeme wa upepo baada ya EWURA,kuwakabidhi leseni yao ya biashara.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages