Rais Jakaya Kikwete akipeana mkono na Mkurugenzi Mkuu wa TBC Bw Clement
Mshana wakati wa kutoa heshima za mwisho kwa mtangazaji Halim Mchuka leo
katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili, kabla ya kwwenda kuzikwa
makaburi ya Msasani baada ya Sala ya Ijumaa.
Rais Jakaya kikwete akiwapa pole wafiwa
Rais Jakaya Kikwete na waombolezaji wakiombea mwili wa Halima Mchuka
Picha Ya Marehemu Halima Mchuka Enzi Za Uhai Wake
Aliyekua Mkurugenzi Mkuu wa TBC Mh Tido Mhando (mwenye suti nyeusi) akiwa pamoja na baadhi ya waombolezaji katika Msiba wa Halima Mchuka.Picha Na Ikulu





bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe.
ReplyDelete