Mkuu
wa mkoa wa Kagera Kanali Mstaafu Fabian Massawe akisisitiza jambo
wakati wakiongea na wana kagera waishio nje wa mkoa huo alipokutana nao
kujadili mstakabali wa maendeleo ya mkoa wa Kagera kwenye ukumbi wa
hoteli ya Coffee iliyoko katika manispaa ya Bukoba.
Mwandishi wa habari wa gazeti la uhuru, Angela Sebastian,(kulia) akiwa na baadhi ya wana kagera waishio Dar es salaam.
Mfanyabiashara
Benny Mulokozi aishiye jijini Dar es salaam akitoa maelezo juu ya
madhumuni ya chakula cha usiku kilichoandaliwa na wazaliwa wa mkoa wa
Kagera waishio Dar es salaam.
Waandishi
wa habari ambao ni wazaliwa wa mkoa Kagera waishio nje hawakubaki
nyumba, hapa ni Mwandishi wa habari wa Star TV, Angelo Mwoleka aishiye
Arusha na mke wake.Picha Na Audax-Kagera.com
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)