Afisa
wa Baraza la kuhifadhi Mazingira[NEMC] Bi Joyce Omolo akimueleza
Mikakati inayochukuliwa na Nemc kuhusu Kuhifadhi Mazingira Bw Cesilia
Katata Kwenye Maonyesho ya Miaka 50 ya Uhuru yanayofanyika kwenye
Viwanja vya Saba Saba Mijni Dar es salaam
Afisa
Mwandamizi Ofisi ya Makamu wa Rais Idara ya Mazingira Bi Fainahappy
Kimambo akimuonyesha Vipeperushi vya Mkakati wa Mazingira Bw Ali
Hassan kwenye Maonyesho ya Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara
yanayofanyika Viwanja vya Saba Saba Mjini Dar es salaam
Afisa
wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Bw Thomas Chali akiwaonyesha
Vipeperushi Bw Deuotha Filemom na Maraha Daudi kuhusu Mikakati ya
Kuhifadhi Mazingira na Kupanda Miti kwenye Vianzo vya
Maji, kwenye Maonyesho ya Miaka 50 ya Uhuru yanayoendelea Kwenye Viwanja
vya saba Saba Mjini Dar es salaam.Picha na Ali Meja





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)