Mheshimiwa John Cheyo Atembelea Ubalozi wa Tanzania Nchini Uingereza Na Kukutana na Balozi Peter Kallaghe - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Mheshimiwa John Cheyo Atembelea Ubalozi wa Tanzania Nchini Uingereza Na Kukutana na Balozi Peter Kallaghe

 Picha ya Pamoja Mh Balozi na Mh Cheyo
      Mh Cheyo akisign kitabu cha wageni
  Mh Cheyo na Baraka Baraka baada ya kumaliza Mahojiano
     Mh Cheyo, Mh Balozi Kallaghe na Frank wakibadilishana mawazo.
                                            
Urban Pulse Creative walipata fursa ya kukutana na Mbunge wa Bariadi mashariki Mh John Mamose Cheyo katika Ubalozi wetu wa Tanzania mjini London hapa nchini Uingereza alipokuja kukutana na Mh Balozi Peter Kallaghe. Vilevile Baraka Baraka kutoka Urban Pulse alifanya nae mahojiano maalum na kujadili mambo kadhaa kama dhumuni ya ziara yake, mchakato wa Katiba mpya, miaka 50 ya uhuru wa Tanzania na mipango ya maendeleo katika jimbo lake na mengineyo Mahojiano hayo yatarushwa hivi karibuni, usikose kuangalia

Asanteni,
URBAN PULSE CREATIVE

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages