Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema(CHADEMA)Ashiriki Uzinduzi Wa Kituo Cha Biashara Cha Benki Ya NMB Mkoani Arusha - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema(CHADEMA)Ashiriki Uzinduzi Wa Kituo Cha Biashara Cha Benki Ya NMB Mkoani Arusha

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Arusha ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Mercy Sila, akizindua rasmi Kituo cha Biashara kwa wafanya biashara wadogo, wakati na wakubwa wa Benki ya NMB mkoani Arusha jana. Wengine wanaoshuhudia kutoka kushoto ni CEO wa NMB, Mark Wiessing, Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB,Misheck Ngatunga na Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema.
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Arusha ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Mercy Sila, akisoma kibao cha uzinduzi mara baada ya kuzindua rasmi Kituo cha Biashara kwa wafanya biashara wadogo, wakati na wakubwa wa Benki ya NMB mkoani Arusha jana. Wengine wanaoshuhudia kutoka kulia ni CEO wa Benki ya NMB, Mark Wiessing, Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB, Misheck Ngatunga na kushoto ni Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema.
 Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Arusha ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Mercy Sila, akifurahi baada ya kuzindua rasmi Kituo cha Biashara kwa wafanya biashara wadogo, wakati na wakubwa wa Benki ya NMB mkoani Arusha jana. Wengine wanaoshuhudia kutoka kulia ni CEO wa Benki ya NMB, Mark Wiessing, Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB, Misheck Ngatunga na kushoto ni Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema.
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Arusha ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Mercy Sila, akipeana mkono wa shukrani na CEO wa Benki ya NMB, Mark Wiessing (kulia) na Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB, Misheck Ngatunga baada ya kuzindua rasmi Kituo cha Biashara kwa wafanya biashara wadogo,wakati na wakubwa wa Benki ya NMB mkoani Arusha jana. Kushoto ni Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema.Picha na Mpigapicha wetu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages