
Mheshimiwa
John Mnyika,Mbunge wa Jimbo la Ubungo(CHADEMA)na Waziri Kivuli wa
Nishati na Madini
--
--
Kesho
tarehe 2 Disemba 2011 katika Ukumbi wa Makumbusho Dar es salaam (mkabala
na IFM)kuanzia saa 4 asubuhi EWURA imeitisha Mkutano wa Wadau kujadili
ombi la TANESCO la kupandisha bei ya umeme kwa wastani wa 155%(zaidi ya
mara tatu ya bei ya sasa).
Nawaomba wanamtandao wote tuhamasishe umma kwa kutumia TEHAMA (sms, facebook, twitter, email na njia nyingine) ili wananchi waweze kuhudhuria mkutano husika kwa wingi na kutoa maoni.
Nawaomba wanamtandao wote tuhamasishe umma kwa kutumia TEHAMA (sms, facebook, twitter, email na njia nyingine) ili wananchi waweze kuhudhuria mkutano husika kwa wingi na kutoa maoni.
Kusoma Zaidi Bofya na Endelea......>>>>>>





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)