Mbunge Mstaafu wa Sumbawanga Mjini na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa na
pia Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
na Waziri Paul Kimiti (kulia) akipata maelezo mafupi kutoka kwa Afisa
Mwandamizi wa Fedha kutoka Idara ya Uchambuzi wa Sera Anaa Mbelwa
(kushoto) kuhusu mafanikio ambayo Wizara ya fedha imeyapata katika
kipindi miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara.
Afisa
Mkuu Mfawidhi wa Benki Kuu Harry Mwansembo(kushoto) akimwonyesha
Mbunge Mstaafu wa Sumbawanga Mjini na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa na pia
Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na
Waziri Paul Kimiti (kulia) baadhi ya picha za noti zilizotumika tangu
mwaka 1961 hadi leo jana jijini Dar es salaam alipotembelea banda la
Wizara ya Fedha kwenye maonyesho ya miaka 50 ya uhuru wa Tanzania Bara
yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Mbunge Mstaafu wa Sumbawanga Mjini na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa na pia Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
na Waziri Paul Kimiti (kushoto) akitazama baadhi ya picha za noti
zilizotumika tangu mwaka 1961 hadi leo jana jijini Dar es salaam
alipotembelea banda la Wizara ya Fedha kwenye maonyesho ya miaka 50 ya
uhuru wa Tanzania Bara yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius
Kambarage Nyerere. Kulia ni Afisa Mkuu Mfawidhi wa Benki Kuu Harry
Mwansembo.





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)