MAN CITY YAREJEA KILELENI BAADA YA KUICHAPA ARSENAL BAO 1-0 - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MAN CITY YAREJEA KILELENI BAADA YA KUICHAPA ARSENAL BAO 1-0

Mshambuliaji wa timu ya Manchester City, Samir Nasri, (kushoto) akiambaa na mpira kumtoka beki wa Arsenal, Johan Djourou, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya England uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Etihad Manchester.

Manchester City ilishinda bao 1-0 na kurejea tena kileleni baada ya Manchester United kuiengua timu hiyo kwa masaa kadhaa leo baada ya kushinda mabao 2-0 dhidi ya QPR, ambapo mabao ya Man U, yaliwekwa kimiani na Rooney na Michael Carrick.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages