Mambo ya Kitambi Bonanza - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Mambo ya Kitambi Bonanza

Ni Miaka 50 ya Uhuru huku tukipunguza VITAMBI...KITAMBI NOMA BONANZA inakuletea bonge la bonanza la soka sambasamba na utambulisho wa KITAMBI NOMA TEAM. Basi kwa pamoja tukutane siku ya kesho Ijumaa Tar: 09/12/2011
katika viwanja vya shule ya msingi SUYE kuanzia saa 2 asubuhi.
Nyote mnakaribishwa!

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages