| Waziri mkuu Mizengo Pinda akihutubia katika kilele cha maadhimisho ya miaka 56 ya jumuiya ya wazazi Tanzania na maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru jijini mbeya |
| Waziri mkuu akikaribishwa na mkuu wa mkoa Mbeya Abasi Kandoro mara baada ya kuwasili uwanja wa ndege Mbeya |
![]() |
| Naye mwandishi wa habari wa gazeti la majira Chares Mwakipesile alisalimiana na waziri mkuu |
| Waziri mkuu Mizengo Pinda akipokea maandamano ya wazazi na wanafunzi waliyohudhuria sherehe hizo |






No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)