Mkurugenzi
wa Kampuni ya Kimataifa ya Abhijeet ya India,Abhijeet Jayaswal
(kushoto), akiwa na Balozi Mustafa Nyang'anyi alipowasili Uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere,Dar es Salaam, Jayaswal yuko nchini
kwa mwaliko wa kampuni ya Maks General Enterprises Limited kuangalia
fursa za uwekezaji zilizpo.
-






No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)