Askofu wa Kanisa Katoliki la Jimbo Kuu la Dar es Salaam,Mwadhamam Kardinali Polycap Pengo Azungumzia Juu Ya Posho Za Wabunge - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Askofu wa Kanisa Katoliki la Jimbo Kuu la Dar es Salaam,Mwadhamam Kardinali Polycap Pengo Azungumzia Juu Ya Posho Za Wabunge

Askofu wa Kanisa Katoliki la Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhamam Kardinali Polycap Pengo,akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam Jana kuhusu hali ya kisiasa nchini, ambapo alikemea kitendo cha Spika wa Bunge kukubali wabunge kujiongezea posho za vikao bungeni.Amewaasa kucha tabia hiyo mbaya ya kujijali wao na kuacha kuwajali wananchi kwanza.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages