Mkurugenzi
Mtendaji wa kampuni ya simu ya mikononi ya Airtel,Sam Elangallor
akipokea tuzo na cheti cha heshima kwa kushika nafasi ya mlipa kodi kwa
ridhaa kati ya taasisi 10 zilizochaguliwa,tuzo hiyo imetolewa leo kwenye
hotel ya Serena,jijini dar wakati wa hafla fupi ya maadhimisho ya miaka
5 ya siku ya mlipa kodi kwa taasisi mbalimbali zisizo za kiserikali.
-





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)