Wasanii wa muziki wa kizazi kipya
‘Bongo Flava’ wa Kundi la Wanaume Halisi wakiongozwa na mkali Juma
Nature na wakikabidhi sehemu ya msaada uliotolewa na kampuni ya simu za
mkononi ya Airtel pamoja na umoja wa wasanii wa Bongo 50 kwa Mkuu wa
Wilaya ya Kinondoni Jordan Rugimbana maalum kwa waathirika wa mafuriko
jijini Dar es salaam waliokusanyika katika kituo cha Hananasifu
kilichopo Kinondoni, Wasanii hao pamoja na Airtel wametoa msaada huo leo
vikiwemo vifaa vya nyumbani zikiwemo nguo na vyakula vyote vinathamani
ya Shilingi milioni 10/-.

Kiongozi wa Bendi ya Exta Bongo,Ally Choki akikabidhi sehemu ya
msaada uliotolewa na kampuni ya simu za mkononi ya Airtel pamoja na
umoja wa wasanii wa Bongo 50 kwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Jordan
Rugimbana maalum kwa waathirika wa mafuriko waliokusanyika katika kituo
cha Hananasifu kilichopo Kinondoni, Wasanii hao pamoja na Airtel wametoa
msaada huo leo vikiwemo vifaa vya nyumbani zikiwemo nguo na vyakula
vyote vinathamani ya Shilingi milioni 10/-

Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu ya Airtel Tanzania,Jackson
Mmbando akizungumza na Waandishi wa habari wakati kampuni Airtel ambayo
ilikuwa imejumuka pamoja na wasanii wa Muziki nchini kwenda kutoa
msaada kwa waathirika wa mafuriko waliokusanyika katika kituo cha
Hananasifu kilichopo Kinondoni,jijini Dar es Salaam

Mtayarishaji wa Muziki (Producer) wa Bongo Flava mkongwe P Funk
Majani akikabidhi sehemu ya msaada pamoja na umoja wa wasanii wa Airtel
Bongo 50 kwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni,Jordan Rugimbana maalum kwa
waathirika wa mafuriko waliokusanyika katika kituo cha Hananasifu
kilichopo Kinondoni, Wasanii hao pamoja na Airtel wametoa msaada huo leo
vikiwemo vifaa vya nyumbani zikiwemo nguo na vyakula vyote vinathamani
ya Shilingi milioni 10/-

Ofisa Rasilimalii Watu wa Airtel
aliyeongozana na wafanyakazi wengine wa Airtel na wasanii muziki wa
Bongo Flava,Doris Kibasa akikabidhi sehemu ya msaada uliotolewa na
kampuni ya simu za mkononi ya Airtel pamoja na umoja wa wasanii wa Bongo
50 kwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni,Jordan Rugimbana maalum kwa
waathirika wa mafuriko waliokusanyika katika kituo cha Hananasifu
kilichopo Kinondoni, Wasanii hao pamoja na Airtel wametoa msaada huo leo
vikiwemo vifaa vya nyumbani zikiwemo nguo na vyakula vyote vinathamani
ya Shilingi milioni 10/-Picha Kwa HIsani ya Mtaa Kwa Mtaa Blog





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)