Wizara Ya Katiba na Sheria Yazindua Maadhimisho ya Miaka Hamsini ya Uhuru - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Wizara Ya Katiba na Sheria Yazindua Maadhimisho ya Miaka Hamsini ya Uhuru


Watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria wakiwa na Bango wakati wa maadhimisho ya Miaka hamsini ya Wizara

Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Jaji Profesa Ibrahim Juma (mwenye suti) akiwa na DPP Feleshi wakielekea katika uzinduzi wa maadhimisho hayo.

Jaji Kiongozi Fakhi Jundu akisoma hotuba wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya miaka hamsini kwa wizara ya Katiba na Sheria
Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Jaji Profesa Ibrahim Juma akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa Tume katika uzinduzi wa maadhimisho ya miaka hamsini ya uhuru

Jaji Kiongozi Fakhi Jundu akiwa na baadhi ya viongozi wa Wizara na Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Katiba na Sheria wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya miaka hamsini ya uhuru kwa upande wa wizara 
(picha zote na ofisa habari wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Munir Shemweta)

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages