Timu
ya Kamba ya Hazina wanawake (yenye jezi za Bluu) na washabiki wao
wakisherekea ushindi wa tatu wa Mashindano ya SHIMIWI baada ya kuwavuta
RAS Iringa (hawapo pichani) leo asubuhi jijini Tanga katika hatua za
kumsaka msindi wa Tatu . Hazina kamba wanawake imefanikiwa kuwa mshindi
wa tatu baada ya kuivuta RAS Iringa mvuto mmoja na kwenda nao sare
mmoja.
-
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)