WANAFUNZI WANAOSOMA UCHUMI CHUO KIKUU CHA DODOMA(UDOM) WAFANYA KONGAMANO JUU YA KUPOROMOKA KWA SHILLINGI YA TANZANIA DHIDI YA FEDHA ZA KIGENI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

WANAFUNZI WANAOSOMA UCHUMI CHUO KIKUU CHA DODOMA(UDOM) WAFANYA KONGAMANO JUU YA KUPOROMOKA KWA SHILLINGI YA TANZANIA DHIDI YA FEDHA ZA KIGENI

Mwendesha Mada Charles Muhoni alipokua akitoa ufafanuzi juu ya Shilingi ya Tanzania Kwanini inapolomoka kila siku katika kongamano lililofanyika katika ukumbi wa kufundishia wa chuo kikuu cha dodoma hapo jana
Mmoja Wa wanafunzi wanaosoma Shahada ya Uchumi na Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma Mr Elieazar alipokua akitoa maelezo juu ya thamani ya Shilingi ya Tanzania dhidi ya Fedha Za Kigeni na Sababu kwanini shilingi ya Tanzania inaporomoka Kila Siku
Mwanafunzi anayesoma Shahada ya Uchumi Fidelis Mroso alipokua akifafanua juu ya Maswala mazima ya Shilingi ya Tanzania dhidi ya Pesa za kigeni hasa Dola ya Marekani katika kongamano lililofanyika katika ukumbi wa kufundishia wa chuo kikuu cha Dodoma jana jioni.
Baadhi Ya Wanafunzi Walioshiriki Katika Kongamano hilo lililofanyika Chuo Kikuu Cha Dodoma
 Makamu Mwenyekiti Wa Taasisi Ya Wanafunzi wanaosomea Uchumi ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDEA) Victor Mengi alipokua akifungua kongamano linalohusu Juu ya Kuporomoka Kwa Shilingi ya Tanzania Dhidi ya Fedha Za Kigeni lililofanyika Chuo Kikuu Cha Dodoma Jana
Mmoja Wa Wanafunzi Wanaosoma Uchumi Zahara Muhidin Alipokua Akichangia Mada wakati Wa Kongamano hilo
Baadhi ya Washiriki Walioshiriki Kongaman hilo wakiwa katika picha ya pamoja.
Wanafunzi Wa Uchumi Wakiwa Katika Picha ya Pamoja Mara baada Ya Kongamano hilo Kumalizika
 
Sehemu ya Wanafunzi walioshiri kongamano hilo.
Makamu mwenyekiti wa Taasisi ya Wanafunzi Wanaosoma Uchumi Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDEA) Victor Mengi Akiwa katika Picha Ya Pamoja na Mwanafunzi Mwenza Lilian Makanzo Mara baada ya Kongamano Hilo kumalizika.
.......
Wanafunzi Wanaosoma Uchumi Chuo Kikuu Cha Dodoma hapo jana walifanya kongamano ambalo lilihusu juu ya kuporomoka kwa shilingi ya Tanzania dhidi ya fedha za Kigeni husasani Dola ya Marekani ambapo wanafunzi wengi waliweza kutoa sababu ya kwanini shilingi ya tanzania inaporomoka na vilevile waliweza kutoa maoni ya nini kifanyike katika kuhakikisha shilingi yetu ya Tanzania inakua na thamani pamoja na kuwa na uchumi imara.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages