Hapa ilibiddi Mpigapicha wa Kujitegemea na anayeendesha blogu ya Habari na Matukio Cathbert Kajuna akisaidia kuamua ugomvi huo uliotokea katika maeneo ya Vingunguti jijini Dar es Salaam jana. |
Tukio hilo lilizua tafrani kama unavyomuona Bw. Jamal Bakhressa akipambana Mpigapicha wa gazeti la Jambo Leo Richard Mwaikenda.Picha/ Habari Kwa Hisani Ya John Badi Blogu |
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)