Vodacom
Miss Tanzania 2011, Salha Izrael akipunga mkono mara baada ya kuwasili
katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es
Salaam jana akitokea jijini London Uingereza alikoshiriki shindano la
urembo la Dunia Novemba 6,2011
Vodacom
Miss Tanzania 2011, Salha Izrael (katikati) akiwa na baadhi ya warembo
walioshiriki shindano la Miss Tanzania 2011 waliofika kumpokea katika
uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam jana
akitokea jijini London Uingereza alikoshiriki shindano la urembo la
Dunia Novemba 6,2011. Warembo hao toka kushoto ni Jenifa Kakolaki,
Alexia William, Hussna Maulid na Hamisa Hussein.Picha na Mdau Mroki Mroki
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)