Ujumbe Kutoka ADB Nchini Tunisa Watembelea Arusha - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Ujumbe Kutoka ADB Nchini Tunisa Watembelea Arusha

Mkuu wa Itifaki na Benki ya Maendeleo ya Afrika na Kiongozi wa Ujumbe kutoka ADB nchini Tunisa akisisitiza vitu muhimu vinavyohitajika kufanyika ili kufanikisha Mkutano wa Benki ya Maendeleo  Antoinette Batumubwira (kulia) . Wengine ni Kamishna wa Fedha za Nje Said  Magonya(katikati) na Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa AICC Savo Mung,ong,o.
Kamishna wa Fedha za Nje kutoka Wizara ya Fedha  Said Magonya akiueleza Ujumbe wa Benki ya Maendeleo ya Afrika(AfDB) kutoka mjini Tunis nchini Tunisia jana mjini Arusha hatua mbalimbali zilizokwishafanywa na Tanzania katika kuhakikisha mkutano wa AfDB unafanyika kwa ufanisi hapo mwezi Mei mwakani(2012). Wengine ni Mkuu wa Itifaki na Benki ya Maendeleo ya Afrika na Kiongozi wa Ujumbe kutoka AfDB nchini Tunisa Bi. Antoinette Batumubwira (kulia) na Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa AICC Savo Mung,ong,o(kushoto).
 
Ujumbe wa Benki ya Maendeleo ya Afrika(ADB) kutoka Tunis nchini Tunisia wakiwa na Ujumbe wa Kamati ya Maandalizi ya Mkutano wa Benki ya Maendeleo ya Afrika unaotarajiwa kuwafanyika nchini mwezi Mei mwakani (2012) jana mjini Arusha  wakiangalia eneo  mbalimbali ambapo mkutano huo utakaponyika.Picha na Tiganya Vincent,-Arusha

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages