Hapa ni Chooni, Choo kilichopo katika moja ya kafteria zilizopo kitivo cha sayansi ya jamii, sanaa na lugha Cha Chuo Kikuu Cha Dodoma ambapo kutokana na shida ya maji inayoikumba kitivo hiki wanafunzi wengi wamekua hawajali wapi maji yanapatikana bali wanachojali wao ni kupata maji.Pichani Ni Moja ya Vifaa vya kuchotea maji ambapo vilikutwa na kamera yetu kama vinavyoonekana huku wanafunzi wakisubiri ndoo pamoja na kidumu vijae ndipo wengine waendelee..Je kwa hili kuna kupona kweli hapo?
-
Poleni Sana wanafunzi wa Udom, inabidi tuiombe serikali kuweza kutatua tatizo hili mapema kabla hayajawa mengine, ili kuwasaidia wanafunzi wetu kusoma vizuri!
ReplyDelete