Mshindi
wa kwanza wa shindano la wanamitindo lililojulikana kama 'Uni Fashion
Bash',Respicious Denis (kushoto)kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) akipokea zawadi yake ya shilingi laki
tano kutoka kwa mwakilishi wa TBL kanda ya kati John Tesha, baada ya
kutangazwa mshindi katika shindano hilo lililofanyika ukumbi
wa Royal Village mjini Dodoma jana.
Mshindi wa pili wa mitindo kutoka chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) akiwa katika Pozi mara baada ya kutangazwa mshindi Wa Pili ambapo aliibuka na kitita cha shilingi laki tatu.
Mshiriki wa Mitindo naye Kutoka UDOM alipookua akipita jukwaani katika mzunguko wa pili
Mshindi wa pili wa mitindo kutoka chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) akiwa katika Pozi mara baada ya kutangazwa mshindi Wa Pili ambapo aliibuka na kitita cha shilingi laki tatu.
Mshiriki wa Mitindo naye Kutoka UDOM alipookua akipita jukwaani katika mzunguko wa pili
Baadhi
ya washiriki wa shindano la mitindo lililojulikana kama Uni Fashion
Bash kutoka vyuo mbalimbali vya mjini Dodoma wakicheza wakati wa
utambulisho lililofanyika Royal Village Dodoma jana.
Baadhi
ya washiriki wa shindano la mitindo lililojulikana kwa Uni Fashion Bash
kutoka vyuo mbalimbali vya mjini Dodoma wakicheza wakati wa utambulisho
wa shindano hilo lililofanyika kwenye ukumbi wa Royal Village mjini
Dodoma jana.
Baadhi ya wanamitindo wakionyesha umahili wao jukwaani wakati wa onyesho hilo
Baadhi ya wanamitindo wakionyesha umahili wao jukwaani wakati wa onyesho hilo
Baadhi
ya washiriki wa shindano la ubunifuwa mavazi lililojulikana kwa Uni
Fashion Bash kutoka vyuo mbalimbali vya mjini Dodoma wakitambulishwa
jukwaani wakati wa shindano hilo.
Mshindi
wa kwanza wa ubunifu wa mavazi wa shindano la 'UNI fashion Bash' ,Irene
Rwakatale (kushoto) akipokea akipokea zawadi yake ya shilingi laki saba
kutoka kwa Meneja wa Redds, Victoria baada ya kutangazwa mshindi wa
shindano hilo jana.
Baadhi
ya wanafunzi kutoka vyuo malimbali vya mjini Dodoma wakishangilia
wakati wa shindano hilo.
Baadhi
ya wanafunzi kutoka Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM)Kutoka Kulia Ni Shacky Pwepe, Angel, David, John Eugen walipokua wakishangilia mara baada ya mshindi wa kwanza wa mavazi kutangazwa kutoka UDOM
wakati wa shindano hilo.
Mwanamuziki
wa kizazi kipya, Mwana FA, akishambilia jukwaa wakati wa shindano hilo.
Mwanamuziki wa nyimbo zakizazi kipya, Mwana FA akiimba sambamba na mwana dada kutoka chuo cha UDOM akimwakilisha Msanii Lina wakati wa shindano la wanamitindi na ubunifu wa mavazi lililojulikana kama Uni Fashion Bash lililofanyika kwenye Ukumbi wa Royal Village Mjini Dodoma
Mwanamuziki wa nyimbo zakizazi kipya, Mwana FA akiimba sambamba na mwana dada kutoka chuo cha UDOM akimwakilisha Msanii Lina wakati wa shindano la wanamitindi na ubunifu wa mavazi lililojulikana kama Uni Fashion Bash lililofanyika kwenye Ukumbi wa Royal Village Mjini Dodoma
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)