Mchezaji wa timu ya Taifa Mohaned Idd akicheza wakati wa mchezo na timu ya Dodoma
Timu
ya Taifa ya mchezo wa POOL imeibwaga DODOMA kwa pointi 15 kwa 5 katika
mchezo wa kujipima nguvu kabla ya timu ya Taifa kushiriki mashindano ya
AFRIKA.Picha Na Jane John Blogu
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)