Wachezaji wa
timu ya Taifa 'Taifa Stars' wakiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere leo jioni baada ya kumaliza kazi ya
kuaadhibu Chad nyumbani kwao kwa mabao 2-1. Stars imewasili leo na
inaingia kambini kujiandaa na mchezo wa marudiano na Chad unaotarajiwa
kupigwa Jumanne Novemba 15 katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Stars itahitaji sare ya ama ushindi wa aina yeyote ili kuweza
kujihakikishia tiketi ya michuano hiyo.
Henry Joseph na Nizar
Khalfan, wakitoka nje ya uwanja huo leo.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)