Rais
wa zanzibar Dk Ali Mohamed shein akisalimiana na makamo wa kwanza wa
Rais Maalim Seif Sharif hamadi alipowasili katika uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Zanzibar,akitokea ziarani Dubai .
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed
Shein,akisalimiana na watoto baada ya kumvalisha shada la Mauwa jkana
akitokea safarini katika nchi za UAE
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed
Shein,akizungumza na waandishi wa habari mara baada ua kuwasili katika
uwanja wa ndege wa kimataifa was Abeid Amani Karume Air Port,akitokea
nchi za UAE,katika ziara za kuimarisha uhusiano wa kihistoria na nchi
hizo.Picha na Othman Maulid.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)