Rais
Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipokea hati ya utambulisho toka kwa Balozi
mteule wa Ufaransa nchini Tanzania Mh Marcel Escure leo Ikulu jijini Dar
es salaam
Rais
Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Balozi mteule wa Ufaransa Mh
Marcel Escure baada ya kupokea hati zake za utambulisho leo Ikulu
jijini Dar es salaam
Baada
ya Kupokea hati ya utambulisho, Rais Dkt Jakaya Kikwete akimtambulisha
balozi mteule wa Uswisi nchini Tanzania Mh Oliver Chave kwa Naibu Katibu
Mkuu wa Wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa Kimataifa Balozi
Rajabu Gamaha ambaye anafuatiwa na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na
Marekani Bi. Grace Changali na Mkurugenzi Msaidizi katika idara hiyo.
Rais
Dkt Jakaya Kikwete akiongea na balozi mteule wa Uswisi nchini Tanzania
Mh Oliver Chave baada ya kupokea hati ya utambulisho.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)