majeruhi
wa risasi za polisi katika vurugu za Mwanjelwa leo hii akiwa kapigwa
kichwani. Hadi sasa kuna majeruhi wanne wa risasi, wawili kichwani,
mmoja kwenye paja na mwingine mkononi
Mmoja
wa majeruhi wa risasi za polisi katika vurugu za Mwanjelwa leo, Abel
Mwalukali akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa Mbeya baada ya
kupigwa risasi kwenye mkono.
Hali Badi ni Mbaya sana Kumefuka
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)